Dkt. Mwinyi Aahidi Masoko Mapya Matano kwa Wafanyabiashara Zanzibar

 

MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kujenga masoko makubwa mapya matano ili kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora zaidi.

✅ Maeneo mapya: Kinyasini, Mwera, Kibandamaiti, Kisauni na Kwahajitumbo


✅ Kupunguza msongamano na kodi kubwa kwa wafanyabiashara


✅ Kuendeleza biashara na uchumi wa Zanzibar

Rais Dkt. Mwinyi amewaomba wafanyabiashara na wananchi kumchagua tena pamoja na wabunge, wawakilishi na madiwani wa CCM ili kuiongoza Zanzibar na kutimiza dhamira ya ujenzi wa masoko hayo na maendeleo kwa ujumla. 

Dkt. Mwinyi ametoa wito kwa wananchi kudumisha amani na kujotokeza kwa wingi siku ya kupiga kura. 

#HAM2025 #UongoziUnaoachaAlama #KuraNiAlamaYaMaendeleo.














About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia