MGOMBEA URAISI WA CCM AKIWA MONDULI


Mgombea urais wa chama cha mapinduzi akiwahutubia wananchi wa Monduli mara baada ya kuwasili katika mkutano wake wa hazara ambao aliufanyia katika uwanja wa Bomani Monduli
Mgombea ubunge wa Jimbo la Monduli Edward Lowasa akiwahutubia wananchi katika moja ya Kampeni zake
Mgombe ubunge wa CCM Edward Lowasa akiteta na mgombea urais kupitia tiketi ya CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa Bomani Monduli ambapo alifanya moja ya kampeni zake za kuomba kura na kuwaombea wagombea wanaowania nafasi mbalimbali wa jimbo hilo .


Wananchi wenye asili ya kimasai wametakiwa kujiathari na watu wanaopita na kudai kuwa wanamashirika ya misaada ya kuwasahidia

Hayo yalisemwa na Mgomba uraisi kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi Dr.Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipo kuwa akiongea na wananchi wa jimbo la monduli katika moja ya kampeni yake alizozifanya katika mkoa wa Arusha

Aliwaambia kuwa kumekuwepo na watu ambao wanapita na kuwapiga picha wakidai wanataka wawasahidie wakati hawaendi kufanya hivyo bali wanajinufaisha binafsi

Mgombea huyo pia alisema kuwa serekali imejipanga kuwalipa wamasai ambao waliathirika na ukame uliotokea katika mwaka uliopita .

Alisema japo hawataweza kuwalipa mifugo yao yote iliyokufa bali watajitaidi walipe hata asilimia chache .

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia