Ticker

6/recent/ticker-posts

ZAINA FOUNDATION YAWAPA MAFUNZO WANAHABARI WANAWAKE MKOANI KILIMANJARO JUU YA HAKI YA KIDIGITAL

matukio mbalimbali yakionyesha Mkurugenzi wa taasisi isiokuwa ya kiserikali ya Zaina foundation Zainatuni Njovu akitoa mafunzo ya haki ya kidigitali kwa waandishi wa habari wanawake wa mkoani Kilimanjaro mafunzo yaliyofanyika mjini moshi mkoani Kilimanjaro 

Baadhi ya wanahabari wakifatilia mada


 

Post a Comment

0 Comments