20 %akitoa burudani katika shoo iyo iliyoandaliwa na chanel ten
watu balaa palikuwa hapatoshi
vimwana vya FM Academia vikifanya mambozi
Waimbaji wa FM Academia wakifanya vitu vyao
Nyoshi wa FM Academia akibadilishana jambo na mshabiki wake aliyekuwepo kwenye shoo
full mzuka
watu walikuwa wanajiachia balaa
Kikosi kilichokuwa kwenye shoo hiyo ya ikiwa jukwaani kwaajili ya utambulisho
Apo Dj Tas wa Magic Fm akiwa anamtambulisha Mtangazaji mwenzake Jamila Omar kwa wadau wa mkoa wa Arusha waliouthuria shoo hiyo
wati walikuwa wengi balaa
wafanyakazi wa chanel ten wakiburudika
watangazaji wa chanel ten wakiwa na mfanyakazi wa triple A wakiwa wanabadilishana mawazo
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia