mkuu wa wilaya ya Meru mheshimiwa Jerry Muro akiongea na
watumishi wa halmashauri ya Meru
watumishi wa halmashauri ya Meru
aliekuwa kaimu mkuu wa wilaya ya Meru ambaye sasa
ni Mkuu wa Wilaya ya Monduli mheshimiwa Idd Kimanta akizungumza wakati
wa kikao cha kumtambulisha mkuu wa wilaya ya meru kwa watumishi wa
halmashauri .
ni Mkuu wa Wilaya ya Monduli mheshimiwa Idd Kimanta akizungumza wakati
wa kikao cha kumtambulisha mkuu wa wilaya ya meru kwa watumishi wa
halmashauri .
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakiwa kwenye kikao
Na Woinde Shizza,Arusha
Mkuu mpya wa wilaya ya Arumeru, mheshimiwa Jerry Muro amwaadi
watumishi wa halmashauri ya meru kuwapa ushirikiano wa kuweza
kutimiza majukumu yao ikiwa ni njia moja wapo huduma bora kwa
wananchi .
Hayo aliyasema wakati alipokuwa akizungumza na wafanyakazi ,
watumishi wa halmashauri hiyo mkutano uliofanyika katika ukumbi wa
mikutano wa halmashauri hiyo ambapo aliwahaidi kuwapa ushirikiano
watumishi wote katika swala zima la kusikiliza na kutatua kero za
wananchi
" napenda kuwatoa hofu watumishi wote kwa ujio wangu kwani nitawapa
ushirikiano na kuwawezesha kutimiza majukumu yenu ikiwa nipamoja na
utoaji wa huduma bora ili kutimiza azma ya Serikali ya awamu ya tano
ya kusikiliza na kuzitatua kero za wananchi pamoja na rasilimali za
Tanzania ili kuwanufaisha wananchi wote hasa wanyonge na watoto wa
maskini, nukuu nimekuja hapa kutimiza torati na si kuivunja" Alisema
Muro.
Aidha alisema kuwa ushirikiano huo utaanza kwa kuwapa fursa watumishi
hao kwa kueleza changamoto zao na kupokea mawazo,maoni na mikakati
itakayoleta maendeleo kwenye Halmashauri hiyo na Wilaya ya Arumeru
ambapo alibainisha kuwa anatarajia kufanya kikao kingine mapema
jumatatu august 6 2018.
Awali aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo ambaye kwa sasa ni mkuu wa
wilaya ya Monduli Idd Kimanta akimkabidhi ofisi hiyo alisema kuwa
watumishi wa meru ni wazuri na wachapakazi na amemkabidhi pamoja na
ofisi wakiwa weupe na wenye Afya tele wanyeye kevu wachapakazi .
Aidha aliwawataka watumishi hao kumpa ushirikiano mkubwa mkuu huo mpya
wa wilaya kama walivyo mpa yeye ili kuweza kuwaletea maendeleo
wananchi wa meru na taifa kwa ujumla.
Mkuu mpya wa wilaya ya Arumeru, mheshimiwa Jerry Muro amwaadi
watumishi wa halmashauri ya meru kuwapa ushirikiano wa kuweza
kutimiza majukumu yao ikiwa ni njia moja wapo huduma bora kwa
wananchi .
Hayo aliyasema wakati alipokuwa akizungumza na wafanyakazi ,
watumishi wa halmashauri hiyo mkutano uliofanyika katika ukumbi wa
mikutano wa halmashauri hiyo ambapo aliwahaidi kuwapa ushirikiano
watumishi wote katika swala zima la kusikiliza na kutatua kero za
wananchi
" napenda kuwatoa hofu watumishi wote kwa ujio wangu kwani nitawapa
ushirikiano na kuwawezesha kutimiza majukumu yenu ikiwa nipamoja na
utoaji wa huduma bora ili kutimiza azma ya Serikali ya awamu ya tano
ya kusikiliza na kuzitatua kero za wananchi pamoja na rasilimali za
Tanzania ili kuwanufaisha wananchi wote hasa wanyonge na watoto wa
maskini, nukuu nimekuja hapa kutimiza torati na si kuivunja" Alisema
Muro.
Aidha alisema kuwa ushirikiano huo utaanza kwa kuwapa fursa watumishi
hao kwa kueleza changamoto zao na kupokea mawazo,maoni na mikakati
itakayoleta maendeleo kwenye Halmashauri hiyo na Wilaya ya Arumeru
ambapo alibainisha kuwa anatarajia kufanya kikao kingine mapema
jumatatu august 6 2018.
Awali aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo ambaye kwa sasa ni mkuu wa
wilaya ya Monduli Idd Kimanta akimkabidhi ofisi hiyo alisema kuwa
watumishi wa meru ni wazuri na wachapakazi na amemkabidhi pamoja na
ofisi wakiwa weupe na wenye Afya tele wanyeye kevu wachapakazi .
Aidha aliwawataka watumishi hao kumpa ushirikiano mkubwa mkuu huo mpya
wa wilaya kama walivyo mpa yeye ili kuweza kuwaletea maendeleo
wananchi wa meru na taifa kwa ujumla.