Ticker

6/recent/ticker-posts

WAKUU WAPYA WA WILAYA YA ARUSHA WALA VIAPO

   Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akimpa mkono wa pongezi Mkuu mpya wa Wilaya Jerry Muro muda mchache mara baada ya  kumuapisha katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
  Mhe. Frank James Mwaisumbe Mkuu wa Wilaya ya Longido akiwa anakula kiapo  mbele ya  mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe.Jerry Cornel Muro akila kiapo cha utiii mbele jana mbele ya mkuu wa mkoa wa Arusha mrisho Gambo

Post a Comment

0 Comments