SLAA AKUSANYA UMATI ARUSHA


Dr. Willibrord Slaa akiongea na wananchi


ikionyesha aliyekuwa mjumbe wa baraza la vijana CCM Mwaluko Kamplasi Ndembenji akiwa anawasalimia wana chadema mara baada ya kurudisha kadi ya chama cha mapinduzi na kujiunga na Chadema






Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema akihutubia wananchi

mbunge wa jimbo la Arusha mjini akiwahutubia wananchi


picha ikionyesha umati wawatu wengi waliouthuria kwenye mkutano wa chadema leo mkoani Arusha

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post