Monday, August 8, 2011
TAMASHA LA SIMBA LAFANA ARUSHA
Posted by woinde on Monday, August 08, 2011 in | Comments : 0
mshabiki wa timu ya yanga aliyetambulika kwa jina moja la Rama Yanga akiwa amekwedwa na washabiki wa timu yaSimba mara baada ya kuingia kwenye tamasha la simba na nguo zenye rangi ya yanga
mgeni rasmi wa tamasha hilo ambaye ni mkurugenzi wa Tanapa Allan Kijazi akiwa anasalimiana na wachezaji wa timu ya Victors wa Uganda wakati akikagua timu.
Mkurugenzi wa Tanapa Allan Kijazi akiwa na Makamu Mwenyekiti wa timu ya simba Godfrey Nyange walipokuwa wanatambulisha jezi mpya ambayo timu hiyo itaitumia katika msimu wa ligi ujao
mashabiki wa mkoani dar es salaam wa timu ya simba wakiwa wanashangilia mara baada ya timu yao kuingia uwanjani
kaimu mwenyekiti wa timu ya simba aliyevaa tisheti nyekundu Kaburu akiwa amewatembelea mashabiki wa timu ya yanga waliouthuria Tamasha lao wakibadilishana mawazo
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia