Wednesday, August 10, 2011
MAGARI YAFURIKA BP KUWEKA MAFUTA MARA BAADA YA SHELI ZOTE KUISHA MAFUTA
Posted by woinde on Wednesday, August 10, 2011 in | Comments : 0
Askari akiwa anaandika makosa mara baada ya kupima ajali ya watu waliogongana kwenye foleni ya kuingia kwenye sheli ya Bp kupata mafuata
magari nayo usiseme foleni zaidi ya magari 50 yanangoja mafuta BP
Piki piki nazo zipo kwenye foleni ya mafuta
watembea kwa miguu nao walikuwepo wakishangaa foleni
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia