BREAKING NEWS

Wednesday, August 10, 2011

MAGARI YAFURIKA BP KUWEKA MAFUTA MARA BAADA YA SHELI ZOTE KUISHA MAFUTA



Askari akiwa anaandika makosa mara baada ya kupima ajali ya watu waliogongana kwenye foleni ya kuingia kwenye sheli ya Bp kupata mafuata

magari nayo usiseme foleni zaidi ya magari 50 yanangoja mafuta BP


Piki piki nazo zipo kwenye foleni ya mafuta




watembea kwa miguu nao walikuwepo wakishangaa foleni

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates