BREKIING NEWS ,MTANGAZAJI MKONGWE JULIUS NYAISANGAH AFARIKI DUNIA ASUBUHI YA LEO

 
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLMUj4bqxbkbuHjoWRHmVY4E-50wC78gvb09ZV-GorH7oZREHvpAaf84cALMvW7ThpzeLYFsFGT6JigoI_u-dx7_TuqsfHF8FKhCvTeibQaXZod6nb453hKqsO53NS6SXiWz22q4cWPo9V/s1600/1381393_762107853803635_396624584_n.png
 
Habari mbaya na zenye kusikitisha ambazo mtandao huu umezipata kutoka mkoani morogoro asubuhi hii ni kuwa mtangazaji mkongwe hapa nchini Julius Nyaisanga maarufu kama "Uncle J" (pichani) amefariki dunia

Kwa mujibu wa chanzo chetu taarifa za kifo chake zimezagaa asubuhi hii na bado haijafahamika zaidi sababu za kifo chake

Hadi Julius Nyaisanga anafariki dunia alikuwa meneja wa kituo cha redio Abood FM cha mjini Morogoro, na alijulikana sana tangu akifanya kazi Redio Tanzania sasa hivi inajulikana kama TBC Taifa na Redio One stereo

Endelea kusoma blog hii tutakuletea taarifa zaidi za masiba huu mzito kwa jinsi tunavyozidi kuzipata

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia