MTWALE AWATAKA VIONGOZI WAPYA ALAT KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO BAADA YA USHINDI MKUBWA WA SIMA

Na Woinde Shizza,Arusha

 Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),  Sospeter Mtwale, amewataka viongozi wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu Maalum wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) kushirikiana kwa karibu ili kufanikisha malengo ya taasisi hiyo.



About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia