TIMU YA WAANDISHI WA HABARI WA MKOANI IRINGA (IMFC) YAINGIA KAMBINI



 

TIMU ya waandishi wa habari wa mkoani Iringa  imeingia kambini kujiwinda na mchezo wa fainal kati ya bingwa wa mashindano ya Spanest cup,mchezo huo utacheza katika uwanja wa Hifadhi ya Ruaha.
 
Wakizungumza na blog hii viongozi wa timu hiyo  walisema wapo tayari kukabiliana na timu ya Itunundu maarufu kama sukari ya warembo.

Timu hii ya waandishi haijawahi kufungwa katika fainali yoyote ile hivyo Itunundu wajipange

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia