BREAKING NEWS

Wednesday, October 19, 2011

Mh Suzan Lyimo katika vazi la Kaskazini kwenye mkutano wa kimataifa

Mh. Suzan Lyimo (MB) wa Chadema akiwa kwenye mkutano wa kimataifa wa kuzuia nuklia huko Uswisi akiwa ametinga Vazi la kiutamaduni la Kimasai. Viongozi wetu wangeiga mfano huu sio tu ingependeza sana bali pia tungetengaziwa vyema utamaduni wetu nje ya nchi

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates