Mh Suzan Lyimo katika vazi la Kaskazini kwenye mkutano wa kimataifa

Mh. Suzan Lyimo (MB) wa Chadema akiwa kwenye mkutano wa kimataifa wa kuzuia nuklia huko Uswisi akiwa ametinga Vazi la kiutamaduni la Kimasai. Viongozi wetu wangeiga mfano huu sio tu ingependeza sana bali pia tungetengaziwa vyema utamaduni wetu nje ya nchi

Post a Comment

0 Comments