Mh. Suzan Lyimo (MB) wa Chadema akiwa kwenye mkutano wa kimataifa wa kuzuia nuklia huko Uswisi akiwa ametinga Vazi la kiutamaduni la Kimasai. Viongozi wetu wangeiga mfano huu sio tu ingependeza sana bali pia tungetengaziwa vyema utamaduni wetu nje ya nchi
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia