UENDESHAJI HATARI WA MADEREVA WA ARUSHA

Ni katika njia ya Moshi ambapo kushoto kuna lori na mbele katika kona kuna gari linakuja lakini bado tu madereva watatu hawajali hatari hiyo na kuendelea kushindana mbio. Nani wa kulaumiwa hapa endapo ajali ingetokea??

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post