Wednesday, October 19, 2011
UENDESHAJI HATARI WA MADEREVA WA ARUSHA
Posted by woinde on Wednesday, October 19, 2011 in | Comments : 0
Ni katika njia ya Moshi ambapo kushoto kuna lori na mbele katika kona kuna gari linakuja lakini bado tu madereva watatu hawajali hatari hiyo na kuendelea kushindana mbio. Nani wa kulaumiwa hapa endapo ajali ingetokea??
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia