BREAKING NEWS

Wednesday, October 19, 2011

UENDESHAJI HATARI WA MADEREVA WA ARUSHA

Ni katika njia ya Moshi ambapo kushoto kuna lori na mbele katika kona kuna gari linakuja lakini bado tu madereva watatu hawajali hatari hiyo na kuendelea kushindana mbio. Nani wa kulaumiwa hapa endapo ajali ingetokea??

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates