baadhi ya wakazi wa Arusha wakiwa wameanza kutembelea baadhi ya mabanda ambayoyalikuwa yamekamilisha maandalizi
Maandalizi ya siku ya maleria yakeendelea ambapo kitaifa yanafanyikia mkoani Arusha
muuza barafu za azam akiwa anampa maelekezo askari wa kampuni binafsi mara baada ya kumzuia kufanya biashara yake katika uwanja wa general taya ambapokulikuwa na bonanza la makampuni ya utalii.
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia