RC MAKONDA AKABIDHIWA NENO LA MUNGU
| Mh. Paul Makonda alipokuwa akizungumza |
| Kiongozi wa Kanisa la Living Water Centre Kawe Apostle Onesmo Ndegi |
| Mrisho Mpoto aliongozana na Mh.Paul Makonda |
| Apostle Ndegi akieleza jambo kuhusu Mhe Makonda Mrisho Mpoto aliongozana na Mh.Paul Makonda |
| Apostle Ndegi akimpa maelekezo kuhusu kusoma Neno la Mungu kila siku maana ndio litamsaidia katika shughuli za kila siku |
| RC Paul Makonda akiwa na mke wake wakikabidhiwa Biblia ya Neno la Mungu |
| RC Paul Makonda alipata kuongoza nyimbo ya sifa katika ibada hiyo |
| RC Paul Makonda alipata kuongoza nyimbo ya sifa katika ibada hiyo |
| Apostle Ndegi na wachungaji wengine katika Kanisa hilo wakifanya maombi kwa Mh. Paul Makonda |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia