MAJAMBAZI YAUA NA KUJERUHI JIJINI MWANZA.
Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza, SACP Justus Mamugisha, akitoa taarifa kwa wanahabari.
Watu
wawili wameuawa Jijini Mwanza kwa kupigwa risasi na Majambazi, huku Wengine
saba wakijeruhiwa katika tukio la uvamizi wa duka lililokuwa likitoa huduma mbalimbali
za kifedha.
Habari Zaidi BONYEZA HAPA.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia