LEMA AACHA HISTORI KATIKA JIMBO LA ARUSHA MJINI WATU WASHEREKEA WASEMA HAIJA WAHI KUTOKEA KAMA HIVI AFANANISHWA NA OBOMA


Matoke ya uchaguzi wa ubunge jimbo la Arusha mjini yametangazwa leo rasmi ya mgombea wa ubunge wa jimbo kupitia chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA Godbless Lema ameibuka kidea mara baada ya kuweza kupita kwa kasi kubwa kwa jumla ya kura 56,569 huku mgombea mwenza kupita tiketi cha chama cha Mapinduzi Dr.Batilda Burian kuambulia kura 37,460.

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post