BREAKING NEWS

Tuesday, September 20, 2011

KESI INAYOWAKABILI MADIWANI CHADEMA YAFUTILIWA MBALI


Wafuasi wa chadema wakiendelea kushangilia

kesi iliyokuwa ikiwakabili madiwani wa chadema Arusha imeisha na imefutiliwa mbali hapo mmbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akiwa kwenye maandamano na wanachama wake mara baada ya keshi iyo kumalizika

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates