BREAKING NEWS

Thursday, September 29, 2011

YALIYOJIRI KILELE CHA MIAKA 50 YA UHURU MANYARA

Mkuu wa mkoa wa Manyara,Elaston Mbwillo akiwahutubia wakazi wa mkoa huo kwenye kilele cha wiki ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara kwa mkoa huo,yaliyofanyika juzi kwenye viwanja vya Kwaraa mjini Babati
Katibu Tawala wa mkoa wa Manyara,Claudio Bitegeko akiwatazama wacheza ngoma wa mjini Babati wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika mjini Babati juzi kwenye uwanja wa Kwaraa

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates