YALIYOJIRI KILELE CHA MIAKA 50 YA UHURU MANYARA

Mkuu wa mkoa wa Manyara,Elaston Mbwillo akiwahutubia wakazi wa mkoa huo kwenye kilele cha wiki ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara kwa mkoa huo,yaliyofanyika juzi kwenye viwanja vya Kwaraa mjini Babati
Katibu Tawala wa mkoa wa Manyara,Claudio Bitegeko akiwatazama wacheza ngoma wa mjini Babati wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika mjini Babati juzi kwenye uwanja wa Kwaraa

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia