Woinde Shizza ,Arusha
Chama cha
Riadha Mkoa wa Arusha kimepinga kufungiwa Mbio za Mwanariadha mkongwe John
Akwari ambazo zilipangwa kufanyika Juni
10 na kumtaka Katibu Mkuu wa Riadha Taifa Wiliam Gidabuday kutafakari upya
kauli yake kwani inawanyima fursa wanariadha wanaochipukia.
Hatua hiyo
imekuja mara baada ya Mbio hizo
kufungiwa ,Chama hicho kimeanusha kufungiwa kwa mbio hizo na kusisitiza kuwa
mbio hizo zitafanyika kwani hakuna kikao cha taifa kilichoamua kufungia mbio
hizo isipokua utashi wa Katibu huyo
Alfred Oshahanga Katibu wa Chama cha
Riadha mkoa wa Arusha awana mgogoro wowote na mbio hizo zipo pale pale
Meta Petro Mjumbe wa Kamati Tendaji Chama cha Riadha Taifa