WAKINA MAMA WA KIWA SOKONI WAKIUZA NDIZI ZILIZO IVA KATIKA SOKO LA MKUU ROMBO



Picha ni wakina mama wakiwa wanawasubiri wachukuzi waje wanunue ndizi zilizoiva katika soko la Mkuu lililopo mkoani Kilimanjaro wilayani Rombo ndizi hizi hutumika kutengenezea kivyaji kinachopendwa na wachaga wengi kijulikanacho kama Mbege

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

1 Comments:

  1. zamani ndizi tulikuwa tunanunua mashati na mwika sasa mpaka mkuu!

    ReplyDelete

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia