Ticker

6/recent/ticker-posts

Shalom Tanzania!
Baada ya kimya kirefu, mizunguko mingi ya ndani na nje ya nchi kihuduma, Hatimaye Mwanamama, Mtumishi, Mwimbaji alijinyakulia tuzo ya Uanamuziki bora wa nyimbo za injili Ukanda huu wa Afrika Mashariki, CHRISTINA SHUSHO, Sasa amekuja na jambo kubwa la kipee na hili ni TAMASHA LA KUSIFU NA KUMWABUDU MUNGU!

Post a Comment

0 Comments