MIZENGO PINDA AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MJUMBE WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA,DK SENGONDO MVUNGI YALIYOFANYIKA KIJIJINI KWAKE ,CHANJALE KISANGAR JUU

Askofu
wa Jimbo, Geita Dmiano Dallu akifukiza ubani mwili wa Dr. Edmund
Mvungi katika ibada ya mazishi iliyofanyika kijijini kwa marehemu,
Chanjale wilayani Mwanga Novemba 18, 2013.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa
heshima za mwisho kwa marehemu Dr.Edmund Mvungi katika ibada ya mazishi
iliyofanyika kijijini kwa marehemu Chanjale wilayani Mwanga Novemba 18,
2013.

Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiweka shada la maua katika jeneza la marehemu Dr.
Edmund Mvungi kabla ya azishi yaliyofanyika kijijini kwa marehemu
Chanjale wilayani Mwanga Novemba 18, 2013.

Jeneza lenye mwili wa Dk Sengondo Mvungi likishushwa kaburini katika
maziko yaliyofanyika kwenye kijiji cha Chanjale Kisangara Juu, wilayani
Mwanga, Kilimanjaro, jana.Picha na Daniel Mjema na Ofisi ya Waziri Mkuu
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia