BREAKING NEWS

Saturday, November 16, 2013

HII NDO TWASIRA YA UTOAJI TUZO ZA AZAKI BORA 2013


 Kushoto ni  Bernard Kindoli (FCS) Akikabidhi Tuzo kwa mwakilishi wa Busega Children’s and Development Services Assistance  _Mshindi Mfadhiliwa Bora wa FCS 2013- Kuimarisha Uwezo wa Asasi
 Kushoto  ni  Martha Olotu (FCS) akikabidhi Tuzo kwa mwakilishi wa Mkombozi Center for Street Children – Mfadhiliwa Bora wa FCS - Sera Pic 3   Kushoto ni Marilyn Elinawinga (FCS) Akitoa Tuzo kwa Bwana David
Chanyegeya- Mwakilishi wa Tanga Civil Society Coalition – Mfadhiliwa Bora wa FCS – Utawala Bora
 Kushoto ni Marilyn Elinawinga (FCS) Akitoa Tuzo kwa Bwana David Chanyegeya- Mwakilishi wa Tanga Civil Society Coalition – Mfadhiliwa Bora wa FCS – Utawala Bora
 Kushoto ni Bwana John Ulanga, Mkurugenzi Mtendaji wa FCS akitoa Tuzo kwa  Wawakilishi wa Mkombozi Center for Street  Children- Mshindi wa Jumla , Mfadhiliwa Bora wa FCS 2013.
 Kushoto ni  Mheshiwa Abdallah Haji ( Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) Akikabidhi Tuzo kwa Mwakilishi wa Jumuiya ya Kukuza Kilimo Cha Kisasa Zanzibar- Mshindi – Asasi Inayoibukia (Emerging CSOs)
 Kushoto ni  Mama Mary Rusimbi (Mjumbe wa FCS) Akikabidhi Tuzo kwa Mwakilishi wa Saidia Wazee Tanzania – Kasulu, Mshindi wa Tatu – Tuzo ya Asasi Bora

 Kushoto ni Dk. Stigmata Tenga- Rais wa FCS, akikabidhi Tuzo kwa Mwakilishi wa Legal Assistance Organisation , Mshindi wa Pili- Tuzo ya Asasi Bora
 Kushoto ni Mh. Ummy Mwalimu( Naibu Waziri, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto ) Akikabidhi Tuzo kwa Mwakilishi wa Jumuiya ya kuelimisha Athari za Madawa ya Kulevya UKIMWI na Mimba Katika Umri
Mdogo  Ya Pemba- Mshindi, Asasi Bora 2013
 Mabingwa wa Azaki Bora wakijidai na tuzo yao
Washindi katika picha ya pamoja.

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates