KUMSAKA TOP MODEL APAKUTOSHA





Ukumbi mpya wa Mwl.JK Nyerere ulioko jijini Dar es salaam ktkt barabara ya shabaan Robert ulikuwa balaa  jumamosi 7/12/2013 walipo pambana ma Models 15 kwenye kinyang'anyiro chs kumsaka mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ya Top Model of the World

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia