Ticker

6/recent/ticker-posts

KUMSAKA TOP MODEL APAKUTOSHA





Ukumbi mpya wa Mwl.JK Nyerere ulioko jijini Dar es salaam ktkt barabara ya shabaan Robert ulikuwa balaa  jumamosi 7/12/2013 walipo pambana ma Models 15 kwenye kinyang'anyiro chs kumsaka mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ya Top Model of the World

Post a Comment

0 Comments