MKUTANO MKUBWA WA MABADILIKO YA TABIANCHI KUFANYIKA 20 NOVEMBA2015, KIJIJI CHA MAKUMBUSHO
Ofisa
msaidizi wa Programu kutoka Forum CC Jonathan Sawaya akizungumzia
kuhusu mkutano mkubwa wa mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika
Ufaransa.
Evelina
Mageni ambaye ni Rais wa wakulima wanawake vijijini na alikuwa
mshiriki wa shindano la Mama shujaa wa Chakula 2015 akizungumza
umuhimu wa wakulima kushirikishwa katika kutunga sera, utunzaji wa
ardhi kwa ajili ya kilimo.
Kushoto aliyekuwa
mshiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula 2015 Edna Kiogwe
akichangia jambo wakati wa mkutano na waandishi wa Habari kuelekea
mkutano mkuu wa Tabia nchi.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia