RAIS John Magufuli na mkewe Janeth Magufuli leo wamehudhuria kusimikwa kwa Askofu Mkuu wa Jimbo la Katoliki la Arusha, Isaac Amani, katika parokia ya Mtakatifu Theresa wa Mtoto Yesu jijini Arusha.
Misa hiyo pia imehudhuriwa na viongozi mbalimbaliwa serikali na wa kanisa hilo.
Rais Magufuli akimpongeza Askofu Mteule, Isaac Amani, kabla ya kuanza kwa misa ya kumsimika. Nyuma yake ni Mama Janeth Magufuli.
Wakikumbatiana.
Rais Magufuli na mkewe wakiwasalimia maaskofu wamajimbo mengine.
Rais Magufuli akiwasalimia viongozi mbalimbali wakanisa.
Mama Janeth akimsalimia Askofu Isaac Amani.
Rais Magufuli akiwasalimia waumini waliohudhuriamisa hiyo.
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia