Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS MAGUFULI ATEKELEZA AHADI YA MIFUKO 300 YA SARUJI KWA KANISA


  Katibu Tawala wa mkoa wa ARUSHA,Richard Kwitega kushoto   akimkabidhi  Paroko msaiidizi wa Kanisa Katoliki jimbo kuu la Arusha ,Padri Festus Mangwangi saruji   mifuko  saruji 300 kwa niaba ya Rais ikiwa ni ahadi aliyoitoa  katika kanisa katoliki jimbo kuu la Arusha  wakati wa misa ya kumsimika Askofu mkuu wa kanisa hilo ASAACK AMANIkwa uongozi wa kanisa 
 

Na Woinde Shizza,Arusha 
Rais Dkt JOHN MAGUFULI ametoa mifuko ya saruji 300 ikiwa ni ahadi aliyoitoa katika kanisa katoliki jimbo kuu la ARUSHA wakati wa misa ya kumsimika Askofu mkuu wa kanisa hilo ASAACK AMANI.
Katibu Tawala wa mkoa wa ARUSHA,RICHARD KWITEGA akitoa saruji hiyo kwa niaba ya Rais kwa uongozi wa kanisa,amesema mifuko hiyo ni ahadi ya Rais ya kuchangia ujenzi wa kanisa unaoendelea kando ya kanisa lililopo hivi sasa.

Mifuko ya saruji ambayo imetolewa na Rais Dkt JOHN MAGUFULI aliyoiahidi wakati wa misa ya kumsimika Askofu mkuu wa Kansa Katoli jimbo kuu la ARUSHA.

Katibu Tawala wa mkoa wa ARUSHA,RICHARD KWITEGA ndiye aliyekabidhi msaada huo kwa niaba ya Rais Dk JOHN MAFUGULI,ambaye amesema mifuko hiyo itasaidia ujenzi wa kanisa hilo jipya.
Kwa upande wake Katibu msaidizi wa Kamati ya ujenzi wa kanisa,DANIEL LAIZA,amemshukuru Rais kwakutekeleza ahadi yake kwa wakati hivyo watatumia kwa matumizi yaliyokusudiwa.
Paroko msaiidizi wa Kanisa Katoliki jimbo kuu la ARUSHA,Padri FESTUS MANGWANGI,amesema uujenzi huo wa kanisa utakamilika kutokana na misaada inayotolewa huku 

Post a Comment

0 Comments