Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya
Congo, Joseph Kabila, amemteua Bruno Tshibala kama Waziri Mkuu mpya
katika Serikali ya kugawana madaraka.
Bwana Tshibala ataongoza taifa hilo hadi uchaguzi wa Urais unaotazamiwa kufanywa baadaye mwakani. |
-
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya
Congo, Joseph Kabila, amemteua Bruno Tshibala kama Waziri Mkuu mpya
katika Serikali ya kugawana madaraka.
Bwana Tshibala ataongoza taifa hilo hadi uchaguzi wa Urais unaotazamiwa kufanywa baadaye mwakani. |
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia