Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amezindua barabara katika kata ya kaloleni kwenye maeneo ya St James na mahakama yenye thamani ya shilingi milioni 586 fedha kutoka serikali kuu aidha ameambatana na DC Gabriel Fabian Daqarro DED Athumani Kihamia pamoja na watumishi wengine
Wananchi waliouthuria uzinduzi huo
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia