Tatizo la migogoro ya mipaka Kati ya boma na boma kijiji na kijiji, kata na kata na wilaya na wilaya ni tatizo linalowapotezea Muda mwingi saana wananchi wetu.
haya yameelezwa na mkuu wa wilaya ya Longido Daniel Chongolo wakati alipokuwa akitatua mvutano wa matumizi ya Aridhi ya vijiji vya kata ya Mundarara
Alisema kuwa wajibu Muhimu kama Viongozi ni kuhakikisha wanafanya kila namna ili kuitatua migogoro hiyo ili wananchi waondokane na migogoro na kujielekeza kwenye shughuli za maendeleo
Hapa Mkuu WA Wilaya ya lingido Daniel Chongolo akitatua mvutano wa matumizi ya ardhi ya vijiji katika kata ya Mundarara. Tuliumaliza salama. |
Akisikiliza kwa makini maelezo
sehemu ya wananchi waliouthuria
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia