Ticker

6/recent/ticker-posts

NHIF YATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA



 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Ally Mwakababu akizungumza wakati wa kikao cha pamoja baina yao na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga kuhusu umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili waweze kunufaika na huduma zitolewazo
 Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga,kushoto ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)Ally Mwakababu kulia ni Mratibu wa CHF wilaya ya Mkinga,Rashid Gembe
 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kushoto akifuarahia jambo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga,Rashid Gembe mara baada ya kufungua kikao cha pamoja baina ya Mfuko huo na watumishi wa Halmashauri hiyo kuhusu umuhimu wa kujiunga na mfuko huo ili kuweza kunufaika na huduma zinazotolewa.

Afisa Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Miraji Kisile akieleza umuhimu wa watumishi wa halmashauri hiyo kujiunga na mfuko huo ili kuweza kunufaika na huduma zinazotolewa wakati wa kikao hicho kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri hiyo
Kutoka kushoto ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akiteta jambo na Afisa Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga,Miraji Kisile katikati kushoto ni Mratibu wa CHF wilaya ya Mkinga Elizaberth Dickson kabla ya kuanza semina hiyo ya uhamasishaji wa watumishi kujiunga na mfuko huo
Daktari akiwapima baadhi ya watumishi wa halmashauri huo
 Daktari akiwapima baadhi ya watumishi wa halmashauri huo
Afisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Juliana Mathias wa pili kulia akiwapima baadhi ya watumishi wa Halmashauri hiyo uzito wakati wa uhamasishaji huo 
 Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga wakifuatilia kikao hicho
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga wakifuatilia kikao hicho

Post a Comment

0 Comments