TAMWA NA TAASISI YA ZAINA FOUNDATION KWA PAMOJA WAWAKUTANISHA WADAU WA HAKI ZA KIDIGITALI KUJADILI MTEJESHO WA TAFITI WALIYOFANYA JUU YA UZIMWAJI WA MITANDAO


 
 
 TAMWA pamoja na ZainaFoundation  kwa pamoja waliweza kutanisha wadau wa haki za kidijitali  na  waandishi wa habari ili kuweza kujadili mrejesho wa tafiti waliyoifanya juu ya uzimwaji wa mitandao nchini wakati wa matukio mbalimbali kama uchaguzi, pamoja na namna bora ya kuzikabili changamoto hizi pindi zitapojitokeza hapa ni wadau hao wakiwa katika picha ya pamoja




MENEJA mradi wa Taasisi ya Zaina Foundation Farida Salum  katikati akiendelea kuwaelimisha baadhi ya washiriki walioshiriki majadiliano hayo

Afisa TEHAMA kutoka chama cha waandishi wa habari wanawake (TAMWA) Godwin Assenga akiendelea kuwaelimisha jinsi ya  kujadili mrejesho wa tafiti waliyoifanya juu ya uzimwaji wa mitandao nchini wakati wa matukio mbalimbali

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post