Ticker

6/recent/ticker-posts

UVCCM YAENDA KUMFARIJI SAID ALIYETOBOLEWA MACHO


Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Dar Es Salam Ndg Omar Matulanga leo na viongozi mbali mbali wa UVCCM wamefika nyumbani kwa Ndg Saidi Ally, Mabibo hostel, kumjuilia hali na kumfariji kufuatia mkasa wa kutolewa macho na kujeruhiwa sehemu mbali mbali za mwili.


Post a Comment

0 Comments