Watanzania
wawili, Baraka Malali na mkewe Ashura Musa wamekamatwa nchini China
wakiwa wamemeza kete 129 za dawa za kulevya wakiwa na mtoto wao wa miaka
2 na miezi 9 ambaye amerudishwa nchini leo. Baraka alikuwa amemeza kete
47 na Ashura kete 82.
-
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia