Wednesday, July 20, 2011
SENETA WA JIMBO LA OVIGON MAREKANI AZURU ARUSHA
Posted by woinde on Wednesday, July 20, 2011 in | Comments : 0
Seneta Jack Winter wa jimbo la Ovigon Marekani akiwa anacheza na kikundi cha ngoma mara baada ya kutembelea katika kituo cha kulelea watoto yatima wakati alipokuwa na ziara ya kutembelea baadhi ya vituo ambavyo vinasimamiwa na shirika la Ophans Foundation la mkoani hapa
mwenyekiti wa Ophans Foundation Akiwa amejiunga kucheza na seneta huyo katika ngoma iyo ya jadi
seneta Jack Winter akitoa hela mara baada ya kuchagua hereni za kimasai seneta amevaa shuka la kimasai
wageni waliokuwa wanaongezana na seneta Jack Winter wakiwa wanachagua vitu vya asili vilivyokuwa vikiuzwa nawamama wajane wanaosimamiwa na shirika ilo la Ophans Foundation
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia