KATIKA TAMASHA HILI LA WAANDISHI KIKOMBE KILIWEZA KUBAKI MKOANI ARUSHA KWANI TIMU YA RADIO 5 ILISHIKA NAFASI YA KWANZA IKIFUATIWA NA TIMU YA TASWA FC YA JIJIINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Arusha Abraham Gwandu akiwa anateta na baadhi ya waandishi waliouthuria katika tamasha hilo,apo kunamwandishi wa TBC leonadi manga
Mwanamziki Ndanda kosovo akiwa anabadilishana mawazo na watangazaji wa Radio 5 katika siku iyo ya tamasha la waandishi
mwenyekiti wa timu ya wazee klabu Danford Mpumilwa akikagua wachezaji wa timu ya maveterani kutoka kenya katika mechi iliyokuwa ikichezwa ya kirafiki baina ya wazee klabu na maveterani wa kenya
mwanamuziki Ndanda kosovo wa katika kati aluevaa tisheti ya mistari ambaye ameweka makazi yake mkoani Arusha akiwa anafanya vitu vyake na bendi yake katika sherehe za tamasha la waandishi wa habari lililofanyika mkoni hapa
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia