Na Mwandishi Wetu ,Zanzibar
Wakati kukiwa taarifa hali ya ustawi wa kisiasa si shwari ndani ya CUF
watoto wawili wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mji Mkongwe kwa chama
hicho Ibrahim Sanya wamejitoana kuamua kujiunga na CCM kupitia UVCCM.
Wahid na Jamal Ibrahim Sanya wakiisema kwa nyakati tofauti
wakielezea jinsi waluvyochoshwa na siasa za cuf chini ya uongozi wa
Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad na sasa wamehamaia rasmi ccm.
Katika mkutano wa uzinduzi ulioitishwa na kundi la kiharakati la vijana
wanaaojulikana kwa jinanla G ONE uliofanyika juzk huko Maruhubi nje
kidogo ya mji wa Unguja , Jamal alisema baada ya kutafakari, kujipima
na kujiridhisha hatimaye akapata jawabu sahihi lililomfamya ayosheke
kukiuga mkono cuf na kukihama chama hicho.
"Akili kama mjjuavvyo ni jambo la ajabu katika mumble ya binadamu,
akili zile zile zilizonishawishi miaka ile niiunge cuf ,ndo akili hizi
hizi sasa zinanielekeza nijitoe chama hicho na kuhamia ccm" alisema
Jamal.
Kwa upande wa ndugu yake Wahid , alisema pamoja na kipndi kirefu baba
yake kuwa mbunge wa jimbo la Malindi baadae kikabadilishwa na kuitwa
Mji Mkongwe, fikra zake zimemuelekeza ajiondoe cuf na kujiunga ccm bila
kushswishiwa au kuruhusiwa.
"Nimehama cuf leo mimi na ndugu yangu kwa hiari yetu, tunechoshwa na
siasa zenye mizengwe na upendeleo .2ni siasa dhaifu na mbaya ndani
chama hicho, sasa tunafikiria kumshauri baba yetu akikubali akihamie
ccm "alieleza Wahid
Baba wa watoto hao anbaye ni mwanasiasa maarufu katika siasa za zanzibar
Mohamed Sanya alishika ubunge kupitia CUF tokea mwaka 1995 hadi
lakini aliposhiriki kura za maoni ndani ya cuf mwaka jana aliweza
kushima nafasi ya kwanza ongoza ila aktima hali ambayo haikutazamiwa
jina lake kikikatwa na kuteuliwa mshindi wa tatu ambaye sasa ni mbunge
wa jimbo la Mji Mkongwe Mwanasheria Ali Saleh
Habari za uhakika toka ndani ya cuf jimbo la Mji Mkongwe zinahabarisha
kuwa Sanya licha ya kuongoza kura za maoni jina lake kikikatwa kwa
madai alitoa maneno ya kibri dhidi ya Maslim seif.
Kiongizi mmoja machachari katika tawi la Mkunazini mjini Unguja , akieleza na kuasa jina lake lisiandikwe gazetini.
Akisema Maalim seif aliwahi kusikia akishauri ni wakati muafaka kwa
sanya akapumzika na kuwaachia wengine baada ya kushika ubunge miaka 20.
"Maneno hayo yalimkera sanya hivyo kupitia watu wale wale sanya akasema
hata naye anafikir Maalim seif asiwania urais wa zanzkbarbadala yame
amqavhie Hamad Rashid Mohamed au Mohamed Abdulrahman Dedes.
"Kama mimi nimewania vioindi vinne maakim seif anewani mara suta rikea
mfumo wa vhama kimoja na mara tamo kwa gyama bingi"alinukukiwa sanya
akisema.
Aidha Mtoa taarufa wetu akaeleza kuwa majibu hayo ya sanya
yakimchukiza mno Maalim seif na kuahidi angemshughuiikia sanya kamaba
ambavyi Hamad Rashid alivyotupwa nje ya chama hivho.
Katka kile linachoelezw ni mkakayk wa kummaliza sanya kisiasa , , jina
la mgombea huyo likikatwa chini ya ukatibu mkuu wa Maalim seif kwenye
kikao cha Baraza kuu la cuf .
Raia Tanzani licha ya kuchukua juhudi za kumtafuta Mkurugenzi wa
miipango na uchaguzi wa cuf Omar Ali Shehe au mbunge wao wa zamanj
Sanya, simu zao mara zote ziliita bila kupokewa.
Tokea jina la sanya kukatwa kumekuwa na mbwembwe nyingi zilizokuwa
zikifanya mfukulizo na wafuasi wa Ali Saleh kama vile kuchinja mbuzi,
kunywa kahawa kwa halua huku mashabiki hao wakimshambulia huku
wakihanikiza maneno ya kejeli dhidi ya sanya nje ya nyumba yake
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia