Ticker

6/recent/ticker-posts

WATOTO WA MBUNGE SANYA WASUSIA CHAMA MAALIM SEIF


Na Mwandishi Wetu ,Zanzibar
Wakati kukiwa taarifa hali ya ustawi wa kisiasa si shwari  ndani ya CUF  watoto wawili wa aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mji Mkongwe kwa chama hicho  Ibrahim Sanya wamejitoana kuamua  kujiunga na CCM kupitia UVCCM.
Wahid na Jamal  Ibrahim  Sanya  wakiisema kwa nyakati tofauti  wakielezea jinsi waluvyochoshwa na siasa za cuf chini ya uongozi wa Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad na sasa wamehamaia rasmi ccm.
Katika mkutano wa uzinduzi  ulioitishwa na kundi la kiharakati la vijana wanaaojulikana kwa jinanla G ONE uliofanyika juzk huko Maruhubi  nje kidogo ya mji wa Unguja , Jamal alisema  baada ya kutafakari, kujipima na kujiridhisha hatimaye akapata jawabu sahihi  lililomfamya ayosheke  kukiuga mkono cuf na kukihama  chama hicho.
"Akili kama mjjuavvyo ni jambo  la ajabu katika mumble  ya binadamu, akili zile zile zilizonishawishi miaka ile  niiunge cuf ,ndo akili hizi hizi sasa zinanielekeza nijitoe  chama hicho na kuhamia ccm" alisema Jamal.
Kwa upande wa ndugu yake Wahid , alisema pamoja na kipndi kirefu baba yake  kuwa mbunge wa jimbo la Malindi baadae kikabadilishwa na kuitwa Mji Mkongwe, fikra zake zimemuelekeza ajiondoe cuf na kujiunga ccm bila kushswishiwa au kuruhusiwa.
"Nimehama cuf  leo mimi na ndugu yangu kwa hiari  yetu, tunechoshwa na siasa zenye mizengwe na upendeleo .2ni siasa dhaifu  na mbaya ndani chama hicho, sasa tunafikiria kumshauri baba yetu akikubali  akihamie ccm  "alieleza Wahid
Baba wa watoto hao anbaye ni mwanasiasa maarufu katika siasa za zanzibar Mohamed Sanya alishika ubunge kupitia CUF   tokea mwaka 1995 hadi lakini  aliposhiriki kura za maoni ndani ya cuf mwaka jana aliweza kushima nafasi ya kwanza ongoza ila aktima hali ambayo haikutazamiwa jina lake kikikatwa na kuteuliwa mshindi wa tatu ambaye sasa ni mbunge wa jimbo la Mji Mkongwe  Mwanasheria   Ali Saleh
Habari za uhakika toka ndani ya cuf jimbo la Mji Mkongwe zinahabarisha kuwa Sanya licha ya kuongoza kura za maoni   jina lake kikikatwa kwa madai  alitoa maneno ya kibri dhidi ya  Maslim seif.
Kiongizi mmoja machachari  katika tawi la  Mkunazini mjini Unguja , akieleza na kuasa  jina lake lisiandikwe gazetini.
Akisema Maalim seif aliwahi kusikia akishauri ni wakati muafaka  kwa sanya akapumzika na kuwaachia wengine baada ya kushika ubunge miaka 20.
"Maneno hayo yalimkera  sanya hivyo kupitia watu wale wale sanya akasema hata naye anafikir Maalim seif asiwania urais wa zanzkbarbadala yame amqavhie Hamad Rashid Mohamed au Mohamed Abdulrahman Dedes.
"Kama mimi nimewania vioindi vinne maakim seif anewani mara suta rikea mfumo wa vhama kimoja na mara tamo kwa gyama bingi"alinukukiwa sanya akisema.
Aidha Mtoa taarufa wetu akaeleza kuwa  majibu hayo ya sanya  yakimchukiza  mno Maalim seif na kuahidi angemshughuiikia sanya kamaba ambavyi Hamad Rashid alivyotupwa nje ya chama hivho.
Katka kile linachoelezw  ni mkakayk wa kummaliza sanya kisiasa , , jina la mgombea huyo  likikatwa chini ya ukatibu mkuu wa Maalim seif kwenye  kikao cha Baraza kuu la cuf .
Raia Tanzani licha ya kuchukua juhudi za kumtafuta Mkurugenzi wa miipango na uchaguzi wa cuf Omar Ali  Shehe au mbunge wao wa zamanj Sanya, simu zao mara zote ziliita bila kupokewa.
Tokea jina la sanya kukatwa kumekuwa na mbwembwe nyingi zilizokuwa zikifanya mfukulizo na wafuasi wa Ali Saleh kama vile  kuchinja mbuzi, kunywa kahawa kwa halua huku mashabiki hao wakimshambulia huku wakihanikiza  maneno ya kejeli dhidi ya sanya nje ya nyumba yake

Post a Comment

0 Comments