Ticker

6/recent/ticker-posts

HII NDIO RATIBA YA USAILI YA MAISHA PLUS EAST AFRICA 2016

Ratiba ya Usaili Maisha Plus East Africa 2016 Inbox x Krantz Mwantepele 29 Jul (3 days ago) to bcc: me Habari mdau pokea codes,
Baada ya Usaili kufanyika kwa kishindo katika mikoa ya Mtwara na Dar es salaam usaili wa Maisha Plus unaendelea katika mikoa mingine ndani ya Tanzania. 
30/07/2016 - MBEYA - Ukumbi wa City Pub 
31/07/2016 - IRINGA - Savanna Garden 
02/08/2016 - DODOMA - Matei Lounge 
04/08/2016 - MWANZA - Rock Garden 
06/08/2016 - ARUSHA - Via Via
 13/08/2016 - ZANZIBAR - Ngome Kongwe 


Vijana wote wenye umri wa miaka 18 - 26 wanakaribishwa kujitokeza kwa wingi. Elimu na ujuzi ni kiwango chochote. Zawadi kwa mshindi ni Tzshs. Milioni 30. Fomu zinapatikana BURE kabisa kupitia www.maishaplus.tv na katika maeneo tajwa hapo juu. 

 Maisha Plus East Africa 2016 | #VijanaNdioNgazi #HapaKaziTu
   

 Bofya hapa chini kuona video 33 fupi za usaili wa Maisha Plus Dar es salaam.

Post a Comment

0 Comments