Filamu ya Maisha ni Siasa yawekwa mtandaoni kuwapa uhuru watazamaji

Filamu ya Maisha ni Siasa ni sinema ya kitanzania inayoonyesha pilikapilika za wanasiasa katika chaguzi za Afrika. Imechezwa na Paul Mashauri, Loue Kifanya, Violet Mushi, Bahati Chando, Lilian Mwasha, Godwin Gondwe, Hudson Kamoga na wengine wengi. Imeandikwa na Paul Mashauri na Jacqueline Mgumia na kuandaliwa na Kileleni Productions kwa ushirikiano na Mashauri Studios na the 7th Elements. Waweza kuangalia filamu yote hapa chini.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia