Ticker

6/recent/ticker-posts

MJENGONI BAND KUPAMBA USIKU WA LADYS NIGHT LEO MARCH 23

Na awoinde Shizza,Arusha

Bandi ya Music ya mjengoni iliopo Jijini hapa leo inatarajiwa kunogesha usiku wa ladys night unaotarajiwa kufanyika katika ukumbi WA disco.

Akiongea na waandishi wa habari Rais wa band Robert Mukongya (Digital)  alisema kuwa bendi hiyo inaanza kuburudisha majira ya saa moja kamili Usiku

Alisema kuwa bendi hiyo imejipanga kutoa burudani katika mji wa Arusha na vitongoji vyake

Alibainisha Kuwa katika Usiku huu wa ladys night wanaume watalipa elfu 5000 tu huku wanawake wakiingia bure

Post a Comment

0 Comments