MOUNTI MERU RICKENEST BANDI YAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA ,USIULIZE WAPI PA KWENDA UKIWA JIJINI ARUSHA NI KATIKA UKUMBI WA TRIPLE A SPORT BAR KWA BURUDANI WA BENDI SAFI

 rais wa bendi ya Mounti Meru Rickenest Bandi wa pili kutoka kushoto akiwa anasakata rumba na waimbaji wenzake
 picha ya juu na chini waimbaji wa bendi ya Mounti Meru Rickenest bandi wakiwa wanafanya mambo katika onyesho lao


Hii ndio staili mpya ya bendi ya Mounti Meru Rickinest Bandi  ,bendi hii inapiga  kila ijumaa jumamosi na jumapili katika ukumbi wa Triple A spot bar uliopo jijini hapa

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia