Moja ya barua ambazo wafanyabiashara waliopanga katika jengo la Halmashauri ya Iringa wakituma malalamiko kwa mkuu wa wilaya juu ya kutosikilizwa na ofisi ya mkurugenzi.

Hii ni barua kutoka kwa mkurugenzi akiwaalika wafanyabiashara kwenye kikao cha maridhiano juu ya bei zao
<!--[if gte mso 9]>