Ticker

6/recent/ticker-posts

CASTLE LITE YAZINDUA NEMBO MPYA INAYOTAMBULISHA UBARIDI WA KINYWAJI

 Meneja wa bia ya Castle LITE nchini,Victoria Kimaro akitambulisha nembo mpya ya bia hiyo ikiwa baridi wakati hafla ya uzinduzi wake kwenye hafla iliyofanyika kwenye baa ya Break Point-Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla uzinduzi wa nembo mpya ya Castle LITE inayobadilika rangi na kuwa bluu inapokuwa kwenye ubaridi sahihi mpya ya kinywaji hicho  wakipatiwa maelezo juu ya mabadiliko hayo ya nembo .Hafla hiyo ilifanyika kwenye baa ya Break Point –Kinondoni jijini Dar es Salaam jana na kuhudhuriwa na wananchi kutoka sehemu mbalimbali za jiji 

 Meneja wa bia ya Castle LITE  ,Victoria Kimaro akiongea na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa nembo.
Baadhi ya wateja waliofika kwenye hafla ya uzinduzi wa nembo mpya ya bia ya Castle LITE inayobadilika rangi na kuwa bluu inapokuwa kwenye ubaridi sahihi   wakishindana kuweka mikono kwenye barafu wakiangaliwa na Meneja wa bia ya Castle LITE Tanzania ,Victoria Kimaro (kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi na nembo hiyo ambapo ulikuwepo na michezo mbalimbali ya burudani iliyowawezesha washindi kujinyakulia zawadi mbalimbali.

Post a Comment

0 Comments