Ticker

6/recent/ticker-posts

ASKARI POLISI WA MERERANI WASHIRIKI KUFANYA USAFI KATIKA SIKUKUU ZA SHEREHE ZA UHURU





Askari polisi wa Kituo cha Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiongozwa na Mkuu wa kituo hicho, Mrakibu msaidizi (ASP) Thomas Mniko, (kulia) kusafisha mazingira yanayozunguka eneo lao.
 Mkuu wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkonai Manyara, Mrakibu msaidizi wa polisi (ASP) Thomas Mniko (katikati) akishirikiana na askari polisi wa kituo hicho, kusafisha mazingira yanayowazunguka.
Mkuu wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Mrakibu msaidizi wa polisi (ASP) Thomas Mniko akisafisha mazingira yanayozunguka kituo hicho.

Post a Comment

0 Comments