Ticker

6/recent/ticker-posts

DK. KIGWANGALLA AANZA ZIARA YA KIKAZI ARUSHA



Naibu Waziri wa Afya, Maemdeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dk. Hamisi Kigwangalla (MB), akitoa maelezo kwa uongozi wa Kituo cha Afya Kaloleni namna watakavyojenga wodi ya Wazazi katika moja ya maeneo ndani ya kituo hicho cha Afya Kaloleni, Wilaya ya Arusha, mapema leo Agosti 17,2017 wakati wa ziara ya kikazi ya kutembelea vituo mbalimbali vya Afya na kujionea utendaji kazi katika sekta hiyo ya Afya Mkoani hapa.

Naibu Waziri wa Afya, Maemdeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dk. Hamisi Kigwangalla (MB), akitoa maelezo kwa uongozi wa kituo cha Afya Levolosi juu ya uwekaji wa vifaa vya Maabara hiyo

Dk. Kigwangalla akkagua chumba cha upasuaji katika kituo cha Afya Levolosi

Dk. Kigwangalla akikatisha mitaa kwa miguu akitokea kituo cha Afya Levolosi wakati akielekea kukagua kituo cha Afya cha Ngarenaro

Dk. Kigwangalla akikatisha mitaa kwa miguu akitokea kituo cha Afya Levolosi wakati akielekea kukagua kituo cha Afya cha Ngarenaro

Dk. Kigwangalla akikatisha mitaa kwa miguu akitokea kituo cha Afya Levolosi wakati akielekea kukagua kituo cha Afya cha Ngarenaro. Kulia kwake ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha Dk. V. Timothi Wonanji na kushoto ni Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Dk. Baraka Mundhe.

Dk. Kigwangalla akikagua kituo cha Afya ambacho kinajengwa cha Muriet Mpya wakati wa ziara yake hiyo.

Dk. Kigwangalla akikagua kituo cha Afya ambacho kinajengwa cha Muriet Mpya wakati wa ziara yake hiyo.

Dk. Kigwangalla akiwa katika kituo cha Afya Themi wakati wa ziara yake hiyo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Rebecca Mongi

Dk. Kigwangalla akikagua kituo cha Afya kinachojengwa wakati wa ziara yake hiyo.

Dk. Kigwangalla akipata picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa sekta ya Afya Jiji la Arusha wakati wa ziara yake hiyo.

Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Dk. Baraka Mundhe akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Afya Dk. Kigwangalla wakati alipotembelea kituo cha Afya Kaloleni.

Dk. Kigwangalla akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) wakati akizungumza na waandishi wa habari

Dk. Kigwangalla akitoa maagizo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bi. Rebecca Mongi wakati wa ziara yake hiyo ya kukagua vituo vya Afya

Post a Comment

0 Comments