PICHA YA SIKU

picha ikionyesha wanafunzi wa darasa la kwanza  shule ya msingi Sambaru iliopo katika kijiji cha Sambaru wilaya ya Ikungi mkoani Singida wakiwa wanasoma wakati wamekaa chini kutokana na kukosa madawati yakukalia (picha na Woinde Shizza,Singida)

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post