PICHA YA SIKU

picha ikionyesha wanafunzi wa darasa la kwanza  shule ya msingi Sambaru iliopo katika kijiji cha Sambaru wilaya ya Ikungi mkoani Singida wakiwa wanasoma wakati wamekaa chini kutokana na kukosa madawati yakukalia (picha na Woinde Shizza,Singida)

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia