NAIBU KATIBU MKUU WA CHADEMA SALIMU MWALIMU AMTEMBELEA MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA PAMOJA NA MEYA

 Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Salimu Mwalimu Salimu akifafanua jambo kwa Naibu Meya wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro      katika ziara yake ya kumtembelea Meya huyo,Kulia ni Afisa Habari wa CHADEMA Taifa,Tumaini Makene
 Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Salimu Mwalimu Salimu  akiteta jambo na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Juma Idd alipomtembelea Ofisini kwake jana,Kulia na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa Amani Golugwa


About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia