BREAKING NEWS

Thursday, January 14, 2016

NAIBU KATIBU MKUU WA CHADEMA SALIMU MWALIMU AMTEMBELEA MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA PAMOJA NA MEYA

 Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Salimu Mwalimu Salimu akifafanua jambo kwa Naibu Meya wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro      katika ziara yake ya kumtembelea Meya huyo,Kulia ni Afisa Habari wa CHADEMA Taifa,Tumaini Makene
 Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Salimu Mwalimu Salimu  akiteta jambo na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Juma Idd alipomtembelea Ofisini kwake jana,Kulia na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa Amani Golugwa


Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates