BREAKING NEWS

Saturday, January 9, 2016

KIAMPUNI YA TIGO YAWAKUTANISHA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII

Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na Mhariri Mkuu wa
Mtandao wa Thehabari.com, Joachim Mushi akitoa neno la shukrani kwa Kampuni
ya Tigo kwa kuwakutanisha baadhi ya wamiliki na waendeshaji wa mitandao ya
kijamii (bloggers & website owner) katika hafla hiyo maalumu ya chakula
cha jioni iliyofanyika 'Double Tree hotel' jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na Mhariri Mkuu wa Mtandao wa Thehabari.com, Joachim Mushi akitoa neno la shukrani kwa Kampuni ya Tigo kwa kuwakutanisha baadhi ya wamiliki na waendeshaji wa mitandao ya kijamii (bloggers & website owner) katika hafla hiyo maalumu ya chakula cha jioni iliyofanyika 'Double Tree hotel' jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wageni waalikwa ambao ni wamiliki wa mitandao ya kijamii
(bloggers & website owner) wakiwa katika hafla maalumu ya chakula cha
jioni iliyoandaliwa na kampuni ya Simu ya Tigo kusherehekea mteja wa
milioni moja katika 'Facebook' ya kampuni hiyo. Tigo ilitoa zawadi
mbalimbali kwa wateja wanaofuatilia ukurasa wao (Facebook page). Baadhi ya wageni waalikwa ambao ni wamiliki wa mitandao ya kijamii (bloggers & website owner) wakiwa katika hafla maalumu ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na kampuni ya Simu ya Tigo kusherehekea mteja wa milioni moja katika 'Facebook' ya kampuni hiyo. Tigo ilitoa zawadi mbalimbali kwa wateja wanaofuatilia ukurasa wao (Facebook page).Msanii maarufu wa dance nchini, Christian Bella akiwaburudisha wageni
waalikwa katika hafla maalumu ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na kampuni
ya Simu ya Tigo kusherehekea mteja wa milioni moja katika ukurasa wa
'Facebook' wa kampuni hiyo. Msanii maarufu wa dansi nchini, Christian Bella akiwaburudisha wageni waalikwa katika hafla maalumu ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na kampuni ya Simu ya Tigo kusherehekea mteja wa milioni moja katika ukurasa wa 'Facebook' wa kampuni hiyo.Msanii maarufu wa Dance nchini, Christian Bella wa Bandi ya Malaika
kulia akicheza na mmoja wa wageni waalikwa katika hafla maalumu ya chakula
cha jioni iliyoandaliwa na kampuni ya Simu ya Tigo kusherehekea mteja wa
milioni moja katika 'Facebook' ya kampuni hiyo. Msanii maarufu wa dansi nchini, Christian Bella (kulia) wa Bandi ya Malaika kulia akicheza na mmoja wa wageni waalikwa katika hafla maalumu ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na kampuni ya Simu ya Tigo kusherehekea mteja wa milioni moja katika 'Facebook' ya kampuni hiyo.Baadhi ya wanamitandao ya jamii wakisakata rumba na msanii maarufu wa
Dance nchini, Christian Bella (wa tatu kulia) toka Bandi ya Malaika
alipokuwa akiwaburudisha wageni waalikwa ambao ni wamiliki wa mitandao ya
kijamii (bloggers & website owner) katika hafla hiyo maalumu ya chakula
cha jioni iliyofanyika 'Double Tree hotel' jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanamitandao ya jamii wakisakata rumba na msanii maarufu wa dansi nchini, Christian Bella (wa tatu kulia) toka Bandi ya Malaika alipokuwa akiwaburudisha wageni waalikwa ambao ni wamiliki wa mitandao ya kijamii (bloggers & website owner) katika hafla hiyo maalumu ya chakula cha jioni iliyofanyika 'Double Tree hotel' jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wanamitandao ya jamii wakisakata rumba na msanii maarufu wa
Dance nchini, Christian Bella (wa pili kulia)  wa Bandi ya Malaika
alipokuwa akiwaburudisha wageni waalikwa ambao ni wamiliki wa mitandao ya
kijamii (bloggers & website owner) katika hafla hiyo maalumu ya chakula
cha jioni iliyofanyika 'Double Tree hotel' jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanamitandao ya jamii wakisakata rumba na msanii maarufu wa dansi nchini, Christian Bella (wa pili kulia) wa Bandi ya Malaika alipokuwa akiwaburudisha wageni waalikwa ambao ni wamiliki wa mitandao ya kijamii (bloggers & website owner) katika hafla hiyo maalumu ya chakula cha jioni iliyofanyika 'Double Tree hotel' jijini Dar es Salaam."...TWANGA PHOTOOO..." Baadhi ya wanamitandao ya jamii
wakiji-selfie na Msanii maarufu wa Dance nchini, Christian Bella wa Bandi
ya Malaika mara baada ya kutoa burudani. "...TWANGA PHOTOOO..." Baadhi ya wanamitandao ya jamii wakiji-selfie na Msanii maarufu wa dansi nchini, Christian Bella wa Bandi ya Malaika mara baada ya kutoa burudaniMshereheshaji wa hafla hiyo, Taji Liundi (kulia) akimkaribisha
Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na Mhariri Mkuu wa Mtandao wa
Thehabari.com, Joachim Mushi kutoa neno la shukrani kwa Kampuni ya Tigo kwa
kuwakutanisha baadhi ya wamiliki na waendeshaji wa mitandao ya kijamii
(bloggers & website owner). Mshereheshaji wa hafla hiyo, Taji Liundi (kulia) akimkaribisha Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na Mhariri Mkuu wa Mtandao wa Thehabari.com, Joachim Mushi kutoa neno la shukrani kwa Kampuni ya Tigo kwa kuwakutanisha baadhi ya wamiliki na waendeshaji wa mitandao ya kijamii (bloggers & website owner).Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na Mhariri Mkuu wa
Mtandao wa Thehabari.com, Joachim Mushi (kulia) wakibadilishana mawazo na
mmoja wa maofisa kutoka kampuni ya Tigo, Shavkat Berdiev katika hafla
hiyo. Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na Mhariri Mkuu wa Mtandao wa Thehabari.com, Joachim Mushi (kushoto) akibadilishana mawazo na mmoja wa maofisa kutoka kampuni ya Tigo, Shavkat Berdiev katika hafla hiyo.

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates